Marko o 5

1 Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ng`ambo ya ziwa. 2 Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye. 3 Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo. 4 Mara nyingi walimfunga kwa pingu na minyororo lakini kila …

Marko o 4

1 Yesu alianza kufundisha tena akiwa kando ya ziwa. Umati mkubwa wa watu ulimzunguka hata ikambidi aingie katika mashua na kuketi. Watu wakawa wamekaa katika nchi kavu, kando ya ziwa. 2 Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia, 3 “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu. 4 Alipokuwa akipanda, …

Marko o 3

1 Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza. 2 Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki. 3 Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, “Njoo hapa katikati.” 4 Kisha, akawauliza, “Je, ni halali siku …

Marko o 2

1 Baada ya siku kadhaa, Yesu alirudi Kafarnaumu, watu wakapata habari kwamba alikuwa nyumbani. 2 Basi, wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana mlangoni. Yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake, 3 wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne. 4 Kwa sababu ya huo umati wa watu, …

Marko o 1

1 Habari Njema ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.*fa* 2 Ilianza kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Tazama, namtuma mjumbe wangu akutangulie; yeye atakutayarishia njia yako. 3 Sauti ya mtu imesikika jangwani: `Mtayarishieni Bwana njia yake, nyoosheni mapito yake.”` 4 Yohane Mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu …

Luka 24

1 Jumapili, alfajiri na mapema, wale wanawake walikwenda kaburini wakichukua yale manukato waliyotayarisha. 2 Walikuta lile jiwe limeviringishwa mbali na kaburi. 3 Walipoingia ndani, hawakuona mwili wa Bwana Yesu. 4 Walipokuwa bado wanashangaa juu ya jambo hilo, mara watu wawili waliovaa mavazi yenye kung`aa sana, wakasimama karibu nao. 5 Hao …

Luka 23

1 Kisha, wote kwa jumla, wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato. 2 Wakaanza kumshtaki wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akiwapotosha watu wetu, akipinga kulipa kodi kwa Kaisari na kujiita ati yeye ni Kristo, Mfalme.” 3 Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Wewe umesema.” 4 Pilato akawaambia makuhani …

Luka 22

1 Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, iitwayo Pasaka, ilikuwa inakaribia. 2 Makuhani wakuu na walimu wa Sheria wakawa wanatafuta njia ya kumwua Yesu, lakini waliwaogopa watu. 3 Basi, Shetani akamwingia Yuda aitwae Iskarioti, mmoja wa wale mitume kumi na wawili. 4 Yuda akaenda akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa …

Luka 21

1 Yesu alitazama kwa makini, akawaona matajiri walivyokuwa wanatia sadaka zao katika hazina ya Hekalu, 2 akamwona pia mama mmoja mjane akitumbukiza humo sarafu mbili ndogo. 3 Basi, akasema, “Nawaambieni kweli, mama huyu mjane ametia zaidi katika hazina kuliko wote. 4 Kwa maana, wengine wote wametoa sadaka zao kutokana na …

Luka 20

1 Siku moja, Yesu alipokuwa akiwafundisha watu Hekaluni na kuwahubiria juu ya Habari Njema, makuhani wakuu na walimu wa Sheria pamoja na wazee walifika, 2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?” 3 Yesu akawaambia, “Na mimi nitawaulizeni swali: 4 mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka kwa Mungu au …